PROCLAIMING JESUS CHRIST INTO HIS WORLD


KUWEKWA WAKFU KWA ASKOFU WA AWAMU YA SITA WA DAYOSISI YA KUSINI ASKOFU DKT. GERGE MARK FIHAVANGO

Wachungaji na Maaskofu wakiingia kanisani kwa kuanza Ibada.

Kwaya zikituimbuiza katika Ibada hiyo.

Ibada ikiendelea waumini wakimsifu Mungu.

Baba Askof Dkt George Fihavango akiwekwa wakfu.

Picha ya pamoja na mgeni Rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. (Mst) George H. Mkuchika (Mb).

Picha ya pamoja na maaskofu na picha kushoto wageni mbalimbali walihuthuria